KITABU SAUTI CHA MAFUNZO YA KIDINI (UISLAM)- FAIDA YA FUNGA.
au kiunganishi hiki https://www.hulkshare.com/wcp6ebg8jrwg
Kitabu sauti hiki kimesomwa na kuandikwa na mwanazuoni Sheikh Abdul-Mujib Bira, wa Markaz Masjid na kutayarishwa na Jc-records.
Tunatoa fursa kwa walimu wa mambo ya dini kutoka Makanisani/Misikitini kurekodi bure kitabu sauti (Audio Book) ya dakika themanini (80).
Mafundisho yoyote yenye kujenga jamii, kwa kadri ulivyobarikiwa.
Tafadhali fikisha ujumbe huu kwa wanazuoni waliobobea katika masuala ya kiimani (Ukristo/Uislamu).
Kwa maelezo zaidi piga/sms 0712 266 865.
Jc-records tumeanzisha mafunzo ya sauti za kuimba kwa njia ya digitali ikiwa ni pamoja na kujenga pumzi katika uimbaji, kujifunza mipito tofauti katika uimbaji, kuimba sauti za juu, kuimba sauti za chini, kuimba sauti zisizo asilia (falsetto), kutanua koo katika uimbaji, kuboresha matamshi katika uimbaji, maandalizi kabla ya kuimba na mengineyo mengi.
Mafunzo haya yamegawanyika katika hatua tofauti, kila hatua moja mafunzo hutolewa kwa masaa mawili.
Kwa kila hatua gharama yake ni Tsh. Elfu Kumi (10,000/=)
New Single "NIPUNGUZE HASIRA", Artist- "ORME-SPLASH", Studio-JC-RECORDS.
JE WEWE NI MUANDISHI WA HADITHI, MASHAHIRI AU MODO WA SAUTI?
DUNIA YA VITABU SAUTI (Audio Books), FURSA YA BURE.
HOW TO WRITE A HIP-HOP SONG/LYRICS (Using A Mind Map)
KAZI ZINAZOFANYIKA JC-RECORDS.
HOW TO WRITE GOSPEL SONG.
BEND SYLLABLES TO FIT RHYMES INTO BARS (Hip Hop).