Pakua kitabu cha BIBLIA YA WATOTO

5

Pakua kitabu cha BIBLIA YA WATOTO, Toleo la kwanza, kupitia tovuti ifuatayo www. SIMGAZETI.com

Kitabu cha BIBLIA YA WATOTO ni kitabu cha kwanza Afrika mashariki na kati kilichoandikwa kwa lugha nyepesi ya kiswahili na kinachoakisi uhalisia wa masimulizi ya maandiko matakatifu maalumu kwa ajili ya watoto.
Kimesheni picha zenye kuakisi matukio ya matendo makuu ya MUNGU katika maandiko matakatifu.

Pia kitabu cha BIBLIA YA WATOTO kina hitimisho la mafunzo ya kimaadili kutoka katika kila sura ya kitabu ili kuwapatia wazazi na walezi urahisi wa kutafakari pamoja wakiwa na watoto.

Kimeandikwa na kutayarishwa na studio ya JC-RECORDS.

5 comments: