KINYAGO KIKUBWA ZAIDI TANZANIA-SANAA YA MAONGEZI

1


Hiki ni kinyago kikubwa zaidi kupata kutengenezwa nchini Tanzania. 

Ni kazi endelevu iliyochukia takribani zaidi ya miaka mitano mpaka sasa.

Kinatumika kama sehemu ya mafunzo kwa vyuo vikuu mbalimbali vya sanaa ndani na nje ya nchi.

Je, unataka kujua kinaitwaje?

Je, ungependa kufahamu maudhui yaliyobebwa na kinyago hiki?

Fuatilia kipindi cha sanaa ya maongezi kupitia kurasa na akaunti za kipindi 
@sanaa ya maongezi ili kujua mengi zaidi.

Picha kwa hisani ya Jc-mobile photo studio, 0712 266865, 
@jcmobilephotostudio

1 comment: