WASHINDI WA SHINDANO LA KUINUA VIPAJI.

1
Miongoni mwa wengi walioshiriki katika shindano la kusaka na kuinua vipaji, walipatikana vijana sita wanaofanya aina tofauti  tofauti za mziki ambao walifanya vyema na kuonekana wana vipaji vya kuendelezwa.
Washindi hao ni Hussein Kibazo, Pacmen Dee, Claudi Kaweza, Serungwe Bakari, Elly Abasi na Ibrahim Amos.






1 comment: