THE HOTTEST ROMANTIC AUDIO BOOK IN EAST AFRICA - Now Available

0
Kitabu sauti cha kwanza na cha kipekee kuwahi kutengenezwa Tanzania na Afrika mashariki, Kilichosheheni mashairi bora kabisa ya kimapenzi maalum kwa ajili ya wanandoa na wachumba.
Kimerekodiwa katika ubora wa hali ya juu na mpangilio mzuri wa vionjo vya mziki na sauti.
Kitabu sauti hiki kitakupa wigo mpana wa kuufurahia upendo na mapenzi katika namna ya kipekee.
Kinapatikana sasa kwa Tsh. 10,000/=.

 Kwa maelezo zaidi wasiliana na JC-RECORDS kwa namba 0712 266865 kwa kupiga au kwa meseji (sms/watsapp). Baki Njia Kuu, Michepuko Siyo Dili....!!



0 comments: